1. main content
  2. main navigation
  3. extra content
  4. head navigation
  5. search
  6. Choose form 30 Languages


 

Matukio ya Kisiasa | 28.07.2010

Uchaguzi wa baraza la seneti wafanyika leo Burundi

 

Vyama vya upinzani havijabanduka ktuoaka msimamo wake wa kugomea chaguzi kwa madai kwamba serikali inafanya mizengwe katika chaguzi

 

Uchaguzi wa seneti unafanyika leo nchini Burundi, licha ya vyama vya upinzani vikiususia huku vikilalamika juu ya udanganyifu kutoka kwa serikali. Hapo jana tume ya uchaguzi nchini humo ilitangaza kwamba chama tawala cha rais wa sasa Pierre Nkurunziza, CNDD-FDD kilishinda kwa wingi wa kura uchaguzi uliokamilika wa ubunge. Chama hicho kilijinyakulia viti 81 kati ya 106 bungeni.

Mwandishi wetu Hamida Issa ameandaa taarifa ifuatayo.

Mwandishi, Peter Moss

Mhariri, Josephat Charo

 

Josephat Nyiro Charo

 

Send us an e-mail »Send »Print »

More on the topic

 
Share this article


 
Wafanyakazi
Waliochutama kutoka kushoto: Sekione Kitojo,Halima Nyanza,Josephat Charo na Ramadhani Ali. Waliosimama kutoka Kushoto: Susanne Bergers-Rose,Abdul Mtullya,Saumu Mwasimba,Mohamed Abdulrahman,Othman Miraji, Andrea Schmidt,Thelma Mwadzaya, Mohamed Dahman,Oumilkher Hamidou,Samia Othman na Nina Markgraf

DW-TV EUROPE live

People and Politics

We're sorry, due to legal issues this content can not be transmitted as live stream.

If you are inside the United States, it is still possible for you to enjoy DW-TV. For more information, please click here.

Tamasha la Beethoven
Beethovenfest Bonn
Kiswahili On Your Desktop via RSS
RSS