Matukio muhimu | 06.01.2009
Mapigano yachacha Ukanda wa Gaza wanajeshi watatu wa Israeli wauwawa

Inaripotiwa vikosi vya Israeli vimeizunguka Gaza City huku Hamas ikiendelea kuvurumisha roketi Israel »Mehr zu: title"
Habari
Mapigano makali yatokea Gaza City,Israel yakataa kusitisha mapigano
Jerusalem
Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa ameitolea mwito Israeli kusimamisha vita katika Gaza lakini mwito huo umepingwa vikali ...
»Mehr zu: title"More news
Matukio ya Kisiasa | 05.01.2009
Vita vya Gaza vyasababisha mtengano kati ya serikali na umma

Vita vya Ukanda wa Gaza vina athari zake katika nchi nyingi za Kiarabu pia.Vita hivyo vinazidi kutenganisha serikali na raia wake.Katika miji ya Kiarabu hakuna siku bila ya kufanywa maandamano kuwaunga mkono Wapalestina. »Mehr zu: title"
Matukio ya Kisiasa | 05.01.2009
Mzozo wa Gesi baina ya Russia na Ukriane wazidi kupamba moto.

Athari za mzozo wa gesi baina ya Russia na Ukraine sasa zimeanza kushuhudiwa miongoni mwa mataifa yanayoitegemea sana Russia kwa bidhaa hiyo. »Mehr zu: title"
Matukio ya Kisiasa | 05.01.2009
Majeshi ya nchi kavu ya Israel yashambulia huko Gaza

Wanajeshi wa nchi kavu wa Israel wazidi kuingia Ukanda wa Gaza »Mehr zu: title"
Matukio muhimu | 05.01.2009
Ujumbe wa Umoja wa Ulaya mashariki ya kati kuhusu mashambulizi Gaza

Licha ya shinikizo kutoka jamii ya kimataifa kuitaka Israel kusitisha mashambulizi katika ukanda wa gaza bado imeyaendeleza. »Mehr zu: title"







