1. main content
  2. main navigation
  3. extra content
  4. head navigation
  5. search
  6. Choose form 30 Languages

 
 
 

 

Matukio muhimu | 06.01.2009

Mapigano yachacha Ukanda wa Gaza wanajeshi watatu wa Israeli wauwawa

Wanajeshi wa Israeli waishambulia Gaza kutoka angani,majini na ardhini.

Inaripotiwa vikosi vya Israeli vimeizunguka Gaza City huku Hamas ikiendelea kuvurumisha roketi Israel »

 

Habari

Mapigano makali yatokea Gaza City,Israel yakataa kusitisha mapigano

Jerusalem


Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa ameitolea mwito Israeli kusimamisha vita katika Gaza lakini mwito huo umepingwa vikali ... »

More news

Matukio ya Kisiasa | 05.01.2009

Vita vya Gaza vyasababisha mtengano kati ya serikali na umma

An explosion is seen after an Israeli strike in Beit Lahiya in the northern Gaza Strip, as seen from Gaza City, Saturday, Jan. 3, 2009. Israeli warplanes, gunboats and artillery units blasted more than 40 Hamas targets Saturday, including weapons storage facilities, training centers and leaders' homes as Israel's offensive against Gaza's Islamic militant rulers entered a second week.(AP Photo/Adel Hana)

Vita vya Ukanda wa Gaza vina athari zake katika nchi nyingi za Kiarabu pia.Vita hivyo vinazidi kutenganisha serikali na raia wake.Katika miji ya Kiarabu hakuna siku bila ya kufanywa maandamano kuwaunga mkono Wapalestina. »

 

Matukio ya Kisiasa | 05.01.2009

Mzozo wa Gesi baina ya Russia na Ukriane wazidi kupamba moto.

 Bomba la gesi nchini Ukraine ambalo limekauka baada ya Russia kufunga mifereji yake.

Athari za mzozo wa gesi baina ya Russia na Ukraine sasa zimeanza kushuhudiwa miongoni mwa mataifa yanayoitegemea sana Russia kwa bidhaa hiyo. »

 

Matukio ya Kisiasa | 05.01.2009

Majeshi ya nchi kavu ya Israel yashambulia huko Gaza

 Mpalestina anambeba mwanawe aliyejeruhiwa baada ya kufanywa shambulio la roketi la Israel huko Beit Lahiya, kaskazini ya Gaza

Wanajeshi wa nchi kavu wa Israel wazidi kuingia Ukanda wa Gaza »

 

Matukio muhimu | 05.01.2009

Ujumbe wa Umoja wa Ulaya mashariki ya kati kuhusu mashambulizi Gaza

Familia ya kipalestina ikitoroka mashambulizi gaza

Licha ya shinikizo kutoka jamii ya kimataifa kuitaka Israel kusitisha mashambulizi katika ukanda wa gaza bado imeyaendeleza. »

 


 
Picture of the Day
ImageOfTheDay

DW-TV EUROPE live

Journal (deutsch) - Mit Tagesthema